Heinrich-Nordhoff-Gesamtschule Wolfsburg
Integrierte Gesamtschule mit gymnasialer Oberstufe

>>

Termine <<
Startseite/Neuigkeiten
Allgemeine Infos
Gebäude
Schulprogramm
Anmeldung
Wer ist wer?
5.-10. Jahrgang
Oberstufe
Ganztagsbereich
Arbeitsgemeinschaften
Beratungslehrer
Unesco-Projekt-
Schule
Bilder
Förderverein
Ehemalige
Archiv
Speiseplan Mensa      
Datenschutz
Impressum/ Kontakt


Schul-Shirts

 

Flagge Tansania

Karibuni na HNG Homepage !

Maelezo ya msingi

Shule ya Heinrich-Nordhoff-Gesamtschule (HNG) katika mji Wolfsburg ni Comprehensive School (IGS), yaani shule kwa kila aina ya mwendeleo wa elimu ya shuleni. Katika shule moja wanafunzi wana nafasi kuhitimu shule baada ya vidati 9, 10 (O-level), 11 ili 13 (A-level).

Shule ya Heinrich-Nordhoff-Gesamtschule ni shule ya miradi ya UNESCO.  

Shule iliyojangwa mwaka 1971 yupo sehemu ya kusini magharibi ya mji Wolfsburg, lakini wanafunzi hutoka eneo la mji zima na mazingira pia. Hivi sasa (tarehe  2002) wanafunzi 1191 wajifunzwa kwa walimu 91 shuleni petu. Mikondo sita yapo katika kila kiwango cha madarasa na vidato. Kama idadi ya wanafunzi wanaotaka kuanza madarasa ya kwanza ingepita ujazo wa kuwakaribisha shuleni, wanafunzi wale wanapoandikishao wanapigwa kura, lakini iwepo idadi hasa ya wanafunzi wenye matatizo ya kujifunza na wanafunzi wenye bidii na kipaji, ili wafundishwe wasaidiane. 

Wanafunzi wafundishwa katika shule yetu toka kidati 5 (yaani baada ya shule ya msingi) hadi kidati 10 (O-level). Kama wangefanikiwa katika masomo yao yote waweza kuendeleza elimu ya shuleni yao vidati 11, 12 na 13 kabla ya kufanya mtihani wa mwisho (unaohusika mtihano wa kidato cha 6).  

Shule yetu inaongozwa kwa timu ya wakurugenzi: mwalimu mkuu, makamu wa walimu mkuu, mkurugenzi wa madarasa 5 hadi 10, mkurugenzi wa vidato 11 hadi 13 na kiongozi cha mambo ya ualimu. Kila kidato kina kiongozi pia na kila darasa huongozwa kwa walimu wa darasa wawili.

Shule ya Heinrich-Nordhoff-Gesamtschule ni shule ya kutwa nzima. Mafunzo huanza saa mbili kasoro dakika tano asubuhi na humaliza saa kumi kasoro dakika kumi. Hakuna mafunzo alasiri mbili kwa wiki na Jumamosi. Kila siku tangu saa moja na nusu wanafunzi huweza kununua kula kidogo na vinywaji. Toka saa nne hadi saa sita huweza kuchagua menyu kadhaa za chakula cha mchana bwaloni. Katika breki ya adhuhuri wanafunzi wana nafasi kujipumza ili kucheza (kwa mfano katika sebule ya michezo, katika chumba cha tenisi ya mezani, mkahawani, chumbani cha Internet na kadhalika). Alasiri bila mafunzo waweza kushikiri katika shughuli kadhaa, kwa mfano mpira, compyuta, kazi ya mikinoni n.k..

Katika maktaba kubwa ya shule wana nafasi kusoma ili kuazima vitabu, kujifunza peke yao na kufanya mazoezi pamoja.

 

Masomo ya wanafunzi katika shule moja

Wanafunzi wa kila aina ya kipaji na uelekevu wanafundishwa katika majengo hasa ya shule yetu madarasani O-level na A-level (Ujerumani yanayihusika madarasa 5 hadi 10 na vidato 11 hadi 13). Yaani baada ya shule ya msingi wanafunzi waweza kukaa katika shule yetu ya HNG hadi mtihani wa kidato 6 (Ujerumani ni 'Abitur' baada ya kukimaliza kidato 13). Si lazima waendeleze elimu ya shuleni katika shule nyingine.  

Walimu wanafundisha wanafunzi wa kila darasa kwa timu inayahusika ya kuwa uhusiano imara  wa binafsi baina ya walimu na wanafunzi wao bila mabadiliko mengi.

Malengu yetu muhimu ya elimu ya shuleni ni kujifunza kwa pamoja na kwa kuunga mkono. Tutaka kupatanisha furaha ya kujifunza kwa wanafunzi wetu. Kwa hiyo ikiwezekana hatutaki shauri upesi kuhusu mwenendo wa kila mwanafunzi katika shule yetu na mtihani wake wa mwisho ili tujiepushe makosa na mwisho wa elimu ya shuleni wa mapema mno kama mnafunzi ye yote angekuwa na shida.

Katika shule yetu inawezekana kujifunza elimu ya shuleni ya kila aina:

- mwisho baada ya kidato 3 (Ujerumani ni kidato 9)

- mwisho baada ya kidato 4 (Ujerumani ni kidato 10)

- mtihani wa O-level

- mtihani wa A-level

Wanafunzi wa kila kidato wanafundishwa kwa pamoja katika madarasa yao hasa yanachohusika kidato chao. Wanamojifunza masomo ya kijerumani, kiingereza, kifaransa, kihispaniola au kilatini, masomo ya hisabati, masomo ya jamii (yaani geography, history na civics), masomo ya dini na maadili. Kwa namna hii waweza kupata mwelekeo na hisi ya uanachama wa kidato chao upesi sana. Masomo machache hayafunzwa madarasani pa kidato yanachohusika kwa sababu yahitaji madarasa hususa. Haya ni michezo, masomo ya compyuta, masomo ya ufundi, masomo ya muziki na sanaa.

Shuleni wanafunzi wana nafasi nyingi kwa michezo, kwa mapumzika na kula (bwalo kubwa na vioski viwili vya kula kidogo) na juu ya hiyo kwa kujifunza peke yao (kwa mfano katika maktaba kubwa ya shule).

 

Mafunzo ya kiswahili

Toka mwaka 1999 wanafunzi wa shule yetu wana nafasi kujifunza luhga ya Kiswahili mara moja kwa wiki. Kiswahili ni lugha ya Afrika ya Mashariki na sehemu kadhaa ya Afrika ya Kati. Hususan ni lugha ya Tanzania, yaani nchi ya washirika wetu wa ushirikiano wa shule.  

Mafunzo ya Kiswahili si kawaida kwa shule Ujerumani. Wanafunzi wajivutiao lugha ya Kiswahili wanatoka madarasani 10 hadi 13 (yaani vidato vya O-level na A-level) na wanajifunza kwa hiari katika darasa moja. Hamu yao ya kufahamu lugha ya Kiswahili inasababishwa kwa kuvutiwa kwa Wafrika, kwa nchi Tanzania na kwa mila na desturi ya Kiafrika. Wanafunzi kadhaa wanataka kusafiri Afrika wakati ujao ili wamekwisha kufanya safari katika nchi ya rafiki yetu wa Kiafrika.

Wote wajua kwamba Kiswahili inaenea katika Afrika na kwa hiyo ni lugha muhimu sana kwa mawasiliano na uchumi.

Lakini lugha ni ngumu kiasi kwa wanafunzi wa Kijerumani kwa sababu inatofautiana sana na lugha za Ulaya. Kwa hiyo wanafunzi wetu wajifunza Kiswahili kwa michezo bila alama na mitihani ili waweze kufahamu sentensi rahisi na kuongea kidogo.